Posts

Showing posts from September, 2020

UN yamuunga mkono Magufuli kutokomeza ukatili wa mwanamke Ikungi

Image
                              Picha ya pamoja ya Mkuu wa mkoa wa Singida  Dk. Rehema Nchimbi(mwenye kilemba) na       wawakilishi wa mashirika ya kimataifa na wadau mbalimbali wa maendeleo mara baada ya uzinduzi wa mradi Mkuu wa Mkoa wa Singida Dk Rehema Nchimbi(kulia) akiwa na Mwakilishi Mkazi wa Umoja wa Mataifa Nchini Tanzania, Zlatan Milisic baada ya kukata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa mradi    Na John Mapepele, Ikungi  MKUU wa  Mkoa wa Singida Mhe, Dk. Rehema Nchimbi  leo amezindua  miongoni mwa miradi mikubwa iliyowahi kutekelezwa nchini, mradi wa  pamoja  baina ya Mashirika ya Kimataifa ya UN Women na UNFPA kupitia ufadhiri  wa  Shirika la KOICA wa Tuufikie usawa  wa jinsia kupitia kuwawezesha wanawake na wasichana utakaogharimu takribani bilioni 11.5 za kitanzania  ambao utatekelezwa  katika Wilaya ya Ikung...

SH. BILIONI 70 ZATENGWA KUFANYA MAPINDUZI YA VYUO VYA MAFUNZO YA KILIMO- KUSAYA

Image
  Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya akitazama teknolojia ya kisasa  ya kutumia chupa  kuzalisha mbegu za bora za  migomba wakati alipotembelea kituo cha utafiti TARI Dakawa  wilaya ya  Mvomelo jana. Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya akipokelewa na Kaimu Mkuu wa Chuo cha Mafunzo ya Wakulima Mkindo Eng.Grasian Kailembo jana alipokagua utendaji kazi wa chuo hicho wilayani Mvomero. Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya akimwagilia mche wa muembe aliopanda jana alipotembelea Chuo cha Mafunzo ya Kilimo (MATI) Ilonga na kuagiza vyuo vyote vya umma nchini kujitegemea kibiashara kwa kuwa na mashamba darasa . Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya (kulia) akiongea na watumishi wa chuo cha mafunzo ya wakulima Mkindo wilaya ya Mvomero .Kushoto ni Kaimu Mkuu wa Chuo hicho Eng.Grasian Kailembo. Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya (kulia) akitazama mche wa mchikichi wakati alipokagua kitalu cha miche bora  katika kituo...

RC TABORA AAGIZA WAFANYABIASHARA KULIPA KODI KWA WAKATI ILI KUEPUKA FAINI

Image
  Mkuu wa Mkoa wa Tabora Dkt. Philemon Sengati (katikati) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu kampeni ya elimu kwa mlipakodi inayoendelea mkoani humo ambayo imelenga kusikiliza maoni ya walipakodi, kuwakumbusha kulipa kodi kwa wakati, kusikiliza changamoto walizonazo na hatimaye kuzitafutia ufumbuzi. Kampeni hiyo itamalizika tarehe 19 Septemba, 2020. Kushoto ni Meneja wa TRA Mkoa wa Tabora Thomas Masese na kulia ni Meneja wa Elimu kwa Mlipakodi Diana Masalla. Meneja wa Elimu kwa Mlipakodi Diana Masalla akizungumza na waandishi wa habari kuhusu idadi ya wafanyabiashara waliokusudiwa kufikiwa na kampeni ya elimu kwa mlipakodi inayoendelea mkoani Tabora. Katikati ni Mkuu wa Mkoa wa Tabora Dkt. Philemon Sengati na Kushoto ni Meneja wa TRA Mkoa wa Tabora Thomas Masese. Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Tabora Thomas Masese akizungumzia makusanyo katika mkoa huo wakati wa mkutano wa waandishi wa habari kuhusu kampeni ya elimu kwa mlipakodi inayoend...

I&M BANK YAKUTANA NA WATEJA KWENYE CHAI YA ASUBUHI

Image
  Timu ya wafanyakazi wa I&M Bank ikiongozwa na mtendaji Mkuu wa Benki hiyo Bw. Baseer Mohammed, wakuu wa idara mbalimbali, meneja wa matawi ya Dar es salaam pamoja na wateja katika picha ya pamoja baada ya kumaliza kikao hoteli ya Golden Tulip jijini Dar es salaam. Mtendaji Mkuu wa Benki ya I&M, Bw. Baseer Mohammed akiongea na wateja wakati wa kikao kifupi na wateja Golden Tulip siku ya Ijumaa 11 Septemba. Mkuu wa kitengo cha wateja wa rejareja wa Benki ya I&M,  Lilian Mtali akifafanua jambo wakati wa kikao cha wateja kilichofanyika ijumaa 11 septemba Hoteli ya Golden Tulip Masaki ....................................................................... Benki ya I&M Tanzania leo 11 septemba 2020 imekutana na wateja wake katika Hotel ya Golden Tulip kama ilivyo ada ya Benki ya I&M Tanzania kukutana na wateja wake kwaajili ya kujadiliana mada mbalimbali zinazohusiana na huduma za kibenki, changamoto na njia za kuwapatia wateja wake suluhisho ili wafurahie hudu...

WORLD VISION YAWANOA WANAHABARI KUHUSU LISHE NA AFYA YA UZAZI

Image
  Meneja wa Mradi wa ENRICH, Bi Mwivano Malimbwi (aliyesimama) akitoa mafunzo maalum ya malengo ya mradi huo ya utoaji wa elimu ya lishe na kuboresha afya ya uzazi kwa vijana balehe kwenye  mikoa ya Singida na Shinyanga kwa waandishi wa habari ya Mkoa wa Singida (hawapo pichani) leo, aliyekaa  ni mtaalam wa Jinsia na Utetezi wa Mradi Huo Tumaini Fred Mkuu wa Mkoa wa Singida, Dkt. Rehema Nchimbi akiangalia mazao ya asali na mashine ya kukamulia asali  ya kikundi cha ufugaji wa nyuki mkoani Singida kinachofadhiliwa wa World Vision hivi karibuni Na. John Mapepele ,Singida Shirika la World Vision nchini  limewataka waandishi wa habari kama wadau wakuu wa Shirika  hilo  kutoa taarifa sahihi za kazi za  shirika hilo  kwenye mradi wake wa ENRICH  ambao unatekelezwa  katika  mikoa ya Singida na Shinyanga. Mradi huo unalengo la kupeleka elimu ya lishe na afya ya uzazi kwa vijana balehe vijiji...