DKT MATARAGIO: TPDC TUMEYATUMIA MASHINDANO YA SHIMUTA KUJITANGAZA YAMEKUWA NA TIJA KUBWA
MKURUGENZI Mtendaji wa Shirika la Maendeleo ya Petroli nchini (TPDC) Dkt James Mataragio akizungumza na wachezaji wa timu za shirika hilo ambazo zinashiriki kwenye michuano ya Shimuta inayoendelea kutimua vumbi kwenye viwanja mbalimbali mjini hapa. MKURUGENZI Mtendaji wa Shirika la Maendeleo ya Petroli nchini (TPDC) Dkt James Mataragio kulia akiwa na Katibu wa Michezo wa Shirika hilo Elinaike Naburi wakiwasikiliza watumishi wa shirika hilo ambao ni wanamichezo wanaoshiriki mashindano ya Shimuta Jijini Tanga Mmoja wa wachezaji wa timu ya TPDC akichangia jambo wakati wa kikao hicho na Mkurugenzi wa TPDC Dkt James Mataragio ambaye hayupo pichani Mmoja wa wachezaji wa timu ya TPDC akichangia jambo wakati wa kikao hicho na Mkurugenzi wa TPDC Dkt James Mataragio ambaye hayupo pichani Sehemu ya watumishi wa TPDC ambao wanashiriki mashindano ya Shimuta Jijini Tanga wakimsikiliza Mkurugenzi wa Shirika hilo Dkt James Mataragio Sehemu ya watumishi wa TPDC ambao wanashiriki mashi...